Ngwea-22
 msanii wa miondoko ya HIPHOP Abert Magwea amefariki dunia akiwa South Africa. Sababu kamili kuhusiano na chanzo cha kifo hicho bado hazijajulikana. Watu smart entertainment tunaendelea kufuatilia ukweli japo
Taarifa zinasema Kwamba
Ngwea akiwa na msanii M to the P jana
south africa.mtu wa karibu anasema
walitakiwa kurudi dar leo lakini
waliwakuta wamezima kwenye room
wote wawili baada ya kuji overdose
madawa ya kulevya na M to the P yupo
hoi hospitali.
SOURCE: michuzi& mwaharakati mzalendo blog

LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment