Feza Kessy.

LILE Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’ limeanza Jumapili iliyopita ambapo Tanzania inawakilishwa na mrembo ambaye ni mwanamuziki wa Bongo Fleva, Feza Kessy na modo wa kiume nchini, Ammy Nando ambapo watu wamemuonya mrembo huyo juu ya mambo ya ngono.
Mara baada ya kutajwa kwa jina la Feza ndipo watu wakaanza kudondosha maoni kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii juu ya uwakilishi wake mjengoni humo.
Wadau hao walimuomba chondechonde asiwaaibishe kama akina Bhoke Egina ambao walihusishwa na mambo ya ngono huku wakirekodiwa na video zao kusambaa mitandaoni hadi leo.
“Chondechonde Feza usituchafulie sifa nzuri ya maadili yetu,…
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment