Zifuatazo ni baadhi ya salamu na maneno mbalimbali yaliyosemwa na baadhi ya wasanii wa bongo movies kupitia mitandao tofauti ya kijamii baada ya kifo cha mwanamziki wa muziki wa kizazi kipya Albert Mangwea kilichotokea huko Afrika ya kusini leo.

Jokate Mwagelo alikuwa mtu wa kwanza kwanza kutweet kwa kuandika…

Sad news ...... Mkali wa freestyle #RIPNgwea

Jaquiline wolper kupitia instagram naye ameandika

“mangwea mungu ailaze roho yako mahali pema peponi”

Elizabeth Michael (LULU) naye ameandika…..

“Kuna kipindi inatupasa kuamini na kuelewa kuwa sisi sote ni mali ya Mungu....tumeubwa ili tuishi na mwisho wa maisha kuna kifo!!Naamini wengi wetu inakuwa ni vigumu kuamini lakini inatupasa kuamini na kumshukuru Mungu pia!!Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la bwana lihimidiwe....!!!Rest In Peace "Mangwair"safari yetu ni moja mbele yako nyuma yetu!!!AMEEEEEN”

Salma Jabu (Nisha) naye ameandika

“I cant explain how i feel ,,R.I.P brother mangweir daah!!!!!!!!! Xo sad”

Wema Sepetu akaandika….

“Oh God! Rest Alz soul in eternal peace,we loved him but u love him more.kazi ya mola daima haina makosa”

Mipango ya mazishi inafanyika huko nyumbani kwa mama yake na marehemu morogoro na taarifa rasmi zitatolewa baada ya kuwasili kwa mwili wa marehemu.

Mungu ailaze roho ya Marehemu Albert Mangwea mahali pema peponi. Amen
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment