Hata uwe kipa imara kiasi gani, huwezi daka #TigoRusha

Hata simu yako iwe na credit kiasi gani, haiwezi kuchaguliwa kwenda form five .

Hata uwe kinyozi mzuri na bora kiasi gani, huwezi kunyoa kichwa cha habari!

Hata Nyassa na Victoria ni maziwa, lakini hayavalishwi sidiria!


TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment