Msanii wa filamu Wastara leo ameungana na wadau mbalimbali wa filamu makaburini Kisutu jijini Dar es Salaam kusoma dua kwaajli ya marehemu mume wake, Juma Kilowoko aliyekuwa maarufu kwa jina Sajuki.
Mzee Chiro akiwa na Wastara. 
Mzee Chiro akiwa na Wastara
Hata hivyo Wastara alisema baada ya shughuli ya leo. dua rasmi ya marehemu Sajuki itafanyikia nyumbani kwao Songea, January 2, 2014.

Wasanii wa filamu na wadau mbalimbali walijumuhika.
 
Wasanii wa filamu na wadau mbalimbali walijumuika.
Wastara na Frora Mvungi
 
Wastara na Flora Mvungi
 Dua ikisomwa 
Dua ikisomwa
IMG-20131228-WA0068

IMG-20131228-WA0069

IMG-20131228-WA0077

Picha kwa hisani ya Wastara
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment