Bomu la kutupwa kwa mkono likiwa limechimbiwa chini katika makutano ya barabara ya Morogoro na Shekilango jijini Dar es Salaam jana.
 Polisi waliimarisha ulinzi katika eneo hilo.
ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 Watu wakishangaa katika eneo la tukio. 
 Polisi wakichimbua chini kutoa bomu lililokuwa limefukiwa chini.
 Polisi wakiweka  uzio leo katika makutano ya Barabara ya Morogoro na Shekilango jijini Dar es Salaam, baada ya kugundulika kuwepo kwa bomu katika eneo hilo.


TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment