
Heshima kwenu wadau?
Nina rafiki Yangu wa kike tumedumu mwaka 1 na ninakaribia kumtangazia Nia but nasita sita kila nikiangalia baadhi ya mambo
1:familia anayotoka haina uelewano kuanzia yeye na ndugu zake kila siku mgogoro
2.wazazi wake wameachana mud a mrefu nahisi nae anaweza asidumu kwenye ndoa kama wazazi wake
3. Past take so nzuri list ya x ni ya kutosha
He nipo sahihi kumuoa huyu mdada maana kumpenda nampenda sana
TUPE MAONI YAKO HAPA:
0 comments:
Post a Comment