Dokta maarufu nchin Kamdege ambae amekuwa akiwasaidia watanzania kwa kuwapatia dawa za kuwaona wachawi live pamoja na kuwapatia nyota za mafanikio kwa kutumia miti shamba tu.
Dada anaedhaniwa mchawi Irene Robart (27)
Sakina Shabani na Saidi Ngauya
MATUKIO ya kishirikina yameendelea kutanda nchini baada ya mwanamke mmoja, Irene Robart (27) katika hali isiyotarajiwa, aliibuka ghafla chumbani kwa mama mjamzito Kinondoni Moscow jijini Dar es Salaam, akiwa ameshika sahani iliyokuwa na mchele mbichi pamoja na ugali, huku akiwa hajulikani alikoingilia.
credt: xdeejayz
TUPE MAONI YAKO HAPA:

0 comments:
Post a Comment