Ni ngoma mpya iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kutoka kwa Mwana Fa pamoja na AY wakiwa wamemshirikisha msanii kutoka Nigeria maarufu kama J Martins na ngoma inaitwa “BILA KUKUNJA GOTI”. Mdundo wa ngoma hii umetengenezwa na Producer Marco Chali kutoka Mj Records.
Kuwa wa kwaza kuisikiliza hapa chini …..
TUPE MAONI YAKO HAPA:
0 comments:
Post a Comment