Wapendwa naomba mnisaidie nina tatizo la kuwa na maji maji ukeni hasa wakati wa sex yani yananikera sana...nishaurini nifanyeje niondokane na hili tatizo maana nakosa raha inanifanya kupata taabu wakati wa sex nakosa raha i feel like humiliation kwakweli.
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment