"Hawa watoto wadogo wanakuja na kandambili 
kuomba kuimba sasa hivi wanajifanya wao wanazo
 hela sana na kututusi sisi especially mkali wangu
 Albert wallahi mungu 

atamlaani.........mshenzi mkubwa na nikikuona
 nakupiga".

Hicho ndicho alochokiandika TID aka mnyama kwenye kupitia ukurasa wake wa facebook

LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment