Hivi  kumbe  uchawi  upo  kila  nchi?....
Katika  hali  isiyo  ya kawaida, maiti  moja  nchini  Kenya  imezua  kituko cha  aina  yake  baada ya  kugoma  kupelekwa  makaburini.....
Gari  lililokuwa  limeibeba  maiti  hiyo  lilizima  ghafla  na  kugoma  kusonga  mbele...... Likirudishwa  kwa  nyuma, linarudi....mbele, hapana!!!
VIDE O  YA  TUKIO  HILO
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment