Pengine kumekuwa na kiburi na kejeli nyingi kwamba wanawake wa Tanzania hawawezi kucheza mpira wa miguu yaani kabumbu maarufu kama soka. Hakika jambo hili si kweli, huyu ni mwanamke wa Kitanzania ambaye ameamua kuwaonyesha watu sokoni kwamba ana uwezo wa kuchezea gozi vyovyote anavyotaka!
Hakuna haja ya maneno mengi sanaaaaaaaaaaaaaa
TUPE MAONI YAKO HAPA:
0 comments:
Post a Comment