Ni mmoja kati ya Wachekeshaji maarufu Tanzania lakini bado kipaji chake hakijatumiwa vizuri kumpa mkwanja angalau wa kuishi vizuri kama wanavyoishi baadhi ya Wachekeshaji wenzake hapa Tanzania.
Umaarufu wake umetokana na kuigiza sauti za watu mbalimbali maarufu kama anavyofanya hapa chini kwenye hii sauti akiwaigiza Mzee Ally Hassan Mwinyi, Rais Obama, Muammar Gaddafi, Bambo, Masako wa ITV, Bibi Kidude, Pacho Mwamba na wengine.
Umaarufu wake umetokana na kuigiza sauti za watu mbalimbali maarufu kama anavyofanya hapa chini kwenye hii sauti akiwaigiza Mzee Ally Hassan Mwinyi, Rais Obama, Muammar Gaddafi, Bambo, Masako wa ITV, Bibi Kidude, Pacho Mwamba na wengine.
TUPE MAONI YAKO HAPA:
0 comments:
Post a Comment