Kundi la Khanga Moja la Jijini Dar limepigwa marufuku kukanyaga Mkoani Bukoba kutokana na vitendo vya kifuska walivyovifanya huko.
Kwa mujibu mwananchi mmoja aliyejitambulisha kwa jina Rubangila aliimbia Xdeejayz  kuwa kundi hilo limeacha laana kubwa sana mkoani humo kiasi cha kutia kinyaa hivyo wananchi mbalimbali wamesema kuwa hata siku moja wasithubutu kutia pua  zao kwenye ardhi hiyo..
 

Ndembe ndembe khaaa! kweli laki si pesa

Ndembe ndembe khaaa! kweli laki si pesa
KITU ndembe ndembe...kanga mpya ailoi maji......
!! kit6u ndembe ndembe....!!


kitu mwake waacha weeee....agha ghaaaaaaaa .......laki si pesa
milioni pocketman...!!

Hapa jamani kiu kimenishika maji sijui yapo wapi ninywe mie



Haya mambo mengine tunapandishana presha tu mi nahemea juu juu tu hapa sijui ndio midadi?! Ebu naombeni maji ya kunywa.

Ile laki si pesa balaaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaa, endelea kufatilia Mbuzi Mzee Blog kwa matukio zaidi
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment