Hii Ni kutoka kwa wachezaji wa ligi zinazofwatiliwa zaidi duniani, Ligi ya soka ya Uingereza na ligi ya Brazil. Wachezaji hawa wameunga mkono kampeni ya kupinga kutumiwa kwa makahaba watoto wakati wa kombe la dunia.
Watatu kutoka klabu ya Chelsea ambao ni Frank Lampard,Oscar na Ramirez wamekubali kuunga mkono kampeni hiyo kinachofanya kazi na kitengo cha kukabiliana na uhalifu wa binadamu nchini Uingereza .
Kampeni hii inazuia mashabiki kutoka Uingereza kulala na msichana mwenye umri chini ya miaka 18 na kumlipa.
Fahamu kuwa Brazil linakadiriwa kuwa na nusu ya milioni ya idadi makahaba watoto wanaosimamiwa na magenge ya uhalifu na kuna hofu kwamba idadi hiyo itaongezeka wakati wa michuano hiyo
Fahamu kuwa Brazil linakadiriwa kuwa na nusu ya milioni ya idadi makahaba watoto wanaosimamiwa na magenge ya uhalifu na kuna hofu kwamba idadi hiyo itaongezeka wakati wa michuano hiyo
TUPE MAONI YAKO HAPA:
0 comments:
Post a Comment