hh
Wanamuziki wa kizazi kipya wanaendelea kufanya mambo mazuri  kutokana na kipato wanachopata kwenye muziki.
Msanii David Geez maarufu kama Young D ame-share picha za nyumba aliyonunua huko Kimara Suka.
David amenunua nyumba hiyo ambayo ataifanyia ukarabati ilikufikia kiwango anachokitaka yeye na kuhamia baadae.
Hizi ni ndiyo picha alizo-share Young D leo asubuhi.
y3
y1
y2
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment