Mwanamuziki Linah Sanga Amekana katu katu Skendo kuwa anatoka na kigogo mmoja wa serekali na kuwa amempachika ujauzito ..


Linah Amesema yeye sio mjamzito na wala hatoki na Kigogo yoyote, hizo ni shutuma tu za uongo mimi nina mchumba wangu kabisa na anatambulika kwetu  yote mnayoyasikia ni mambo ya kuzusha tu mitaani....Mnikomeee
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment