KWA MASUALA BINAFSI: Kipande cha Picha ya Ngono ya Pokello Iliyovuja

INGEKUWA Kibongo Bongo, tungesikia Binti keshatimuliwa kwao, au Kapewa Laana, au Kapondwa ile Mbaya na Mzazi wake, Lakini kwa Mshua wake POKELLO, imekuwa toooofaaaauuuutiiiii..

Baada ya Kuvuja kwa Video ya Ngono ya Mshiriki wa BIG BROTHER "The Chace" 2013, anayeiwakilisha ZIMBABWE, POKELLO NARE, Baba yake Mzazi MZee Nare ameamua kutoa Uvivu na Kufunguka kuhusu Msala Huo
MWANANGU ANAJIHESHIMU: Baba Mzazi wa Pokello, Mzee Nare

Mzee huyu ambaye pengine tulidhani atammaindi mwanaye, amesema kuwa Video hiyo ambayo imevuja, ilikuwa maalumu kwa ajili ya masuala yao (Pokello & Boyfriend Wake) Binafsi hasa Katika mahusiano yao. Kwa mantiki hiyo, aliyevujisha Video hiyo anamakosa na anatakiwa ajutie kosa Hilo

BIG BROTHER THE CHASE : Pokello akiwa ndani ya Jumba

Namnukuu Mzeee Huyo ambaye ni Kiongozi Mstaafu wa Jeshi huko, ZIMBABWE :

"Video haikuwa maalum kwa ajili ya Umma, na Mtu ambaye ameivujisha, anatakiwa ajutie makosa yake akikiri kuwa ana makosa. Mwanangu ni Mtu anayejiheshimu na kuithamini hadhi yake, na asingweza kuwa dhaifu mpaka kufikia hapo. Ni Mfanyabiashara Mwenye mafanikio"
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment