Wanasema hela huenda kwa wenye hela na mwenye nacho huongezewa zaidi. Sina uhakika, lakini
kwa mujibu wa picha nilizoziona kwenye akaunti ya Instagram ya Diamond 
Platnumz, inaonekana kama the lad is about get some serious money from 
wazee wa machapati ‘Azam’.
Katika akaunti hiyo, Diamond ameweka 
picha kadhaa ambazo zote zinamuonesha akiwa amebeba magunia ya unga wa 
ngano wa Azania na katika picha moja ameandika, “Guess what???.
Tutegemee surprise siku si nyingi!!

LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment