Kala Jeremiah akiwa na kundi lake ameanza safari kuelekea Morogoro kupeleka tuzo kama alivyoahidi. Katika msafara huo anaambatana na washkaji zake katika safari hiyo. #KALI ZA KITAA itaendelea kukujuza msafara mzima ikiwa ni pamoja na picha za matukio mbalimbali katika shughuli hiyo
LIKE PAGE YETU HAPA ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU KUPITIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK KILA SIKU.
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment