ILIKUWA si mchezo..!







Mwanamuziki wa Hip Hop kutoka Kundi la Weusi, Joh Makini, akiwapagawisha mashabiki wa Hip Hop waliofurika katika Uwanja wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala - Zakhem, jijini Dar usiku huu wa sikukuu ya Krismasi.

Mashabiki wa Joh Makini ndani ya Dar Live wakiwa wamepagawa na burudani.
TUPE MAONI YAKO HAPA:
LIKE PAGE YETU ILI UPATE HABARI ZAIDI

0 comments:

Post a Comment