Latest News

Basil PesaMbili Mramba na Daniel Yona Wahukumia Kifungo cha Miaka Mitatu na Faini ya Milioni 5 Kila mmoja Basil PesaMbili Mramba na Daniel Yona Wahukumia Kifungo cha Miaka Mitatu na Faini ya Milioni 5 Kila mmoja

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, imewahukumu kifungo cha miaka mitatu jela aliyekuwa Waziri wa Fedha na Uchumi, Bazil Mramba na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona baada ya kuwatia hatiani kwa makosa mawili. Akizungumzia hukumu hiyo, Wakili wa washtakiwa hao, Peter Swai, ame…

Read more »

UKAWA Wajitoa Rasmi Bungeni....Waondoka Mjini Dodoma UKAWA Wajitoa Rasmi Bungeni....Waondoka Mjini Dodoma

UMOJA wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni za bunge.    Akitangaza msimamo huo mjini Dodoma katika mkutano na waandishi wa habari, kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freeman …

Read more »

Dr Shein Apitishwa Kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia CCM. Dr Shein Apitishwa Kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia CCM.

Kamati kuu maalum ya chama cha mapinduzi Zanzibar kwa kauli moja imempitisha Dr Ali Mohamed Shein kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha mapinduzi.   Hatua hiyo imefikiwa baada ya wajumbe wa NEC wa Zanzibar wanounda kamati maalum ya Zanzibar kukutana hapa Zanzibar katika ofisi kuu ya …

Read more »

Mbunge Wa CHADEMA Ajivua Uanachama......Asema Kama CHADEMA Wanaubavu Wakalikomboe hilo Jimbo Mbunge Wa CHADEMA Ajivua Uanachama......Asema Kama CHADEMA Wanaubavu Wakalikomboe hilo Jimbo

MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi, jana aliwaaga wapiga kura wake akiwaeleza kuwa uanachama wake Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) utakoma mara baada ya kuvunjwa kwa Bunge la 10 mjini Dodoma. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Kashato mjini hapa …

Read more »

Utafiti Urais 2015: Lowassa Aongoza Mbio za Urais.........Dr Slaa Ashika Nafasi ya Pili Utafiti Urais 2015: Lowassa Aongoza Mbio za Urais.........Dr Slaa Ashika Nafasi ya Pili

Zikiwa zimebakia siku sita kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpata mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, kura ya maoni iliyoendeshwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia (REDET) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, inamweka kileleni Waziri Mkuu wa zamani, Edward L…

Read more »

Orodha kamili ya washindi wa Kilimanjaro Music Awards 2015........Ali Kiba Kashinda Tuzo 5, Diamond 2 Orodha kamili ya washindi wa Kilimanjaro Music Awards 2015........Ali Kiba Kashinda Tuzo 5, Diamond 2

Hii ni orodha kamili ya washindi wa tuzo za muziki Tanzania Kilimanjaro Music Awards 2015 zilizofanyika 13 June 2015 Mlinani City jijini Dar es salaam. 1. KIKUNDI BORA CHA MWAKA - BONGO FLEVA - YAMOTO BAND   2. KIKUNDI BORA CHA MWAKA TAARAB - JAHAZI MODERN TAARAB   3. BENDI BORA YA MWAKA - FM A…

Read more »

Mafuriko Ya Lowassa Yatua Kigoma......Azoa Wadhamini 11,250 Mafuriko Ya Lowassa Yatua Kigoma......Azoa Wadhamini 11,250

Umati wa WanaCCM pamoja na wananchi wa Mji wa Kigoma, ukiwa umefurika kwenye Uwanja wa Ofisi Kuu ya CCM Mkoa wa Kigoma, kuja kumuona Mh. Edward Lowassa (anaeonekana kule mbele) wakati alipofika kuomba udhamini wa wanachama wa CCM, ili aweze kupata ridhaa ya Chama kuwania Urais wa Tanzania kwen…

Read more »
123 ... 428»