Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Maarufu zaidi kama "Rais wa Mbeya", Mwanaharakati wa Utetezi wa Haki za Wanamuziki na Mwanamuziki Mkongwe wa Muziki wa Kughani wa Kitanzania Bwana Joseph Mbilinyi "Mr 2/Too Proud/Sugu" (Katikati mwenye Kofia) akiwa na Maswahiba zake miaka kadhaa Nyuma.

TUPE MAONI YAKO HAPA:
0 comments:
Post a Comment